Maadhimisho
ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na Women in
Law and Development in Africa-WiLDAF yafana jijini Dar es salaam. Ni
siku ya Mwanamke wa Afrika na husheherekewa kila mwaka tarehe 31
July toka ilipotamkwa rasmi mwaka 1963 July 31 na wanawake wa Pan
African waliokutana Dar es Salaam kwa wakati huo.Mada mbalimbali
zilitolewa ikiwemo mchakato mzima wa katiba mpya na changamoto zake.
Kulikuwa na watoa mada mbalimbali wakiwemo Dr Khoti Kamanga na Mh.
Getrude Mongela.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...