Mratibu
Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Edga Senga akipokea maelekezo kutoka kwa Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr. Florence Turuka kuhusu masuala ya Maafa
alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika
Mkoani Dodoma, Tarehe 3 Agosti, 2014.
Mratibu
Msaidizi wa Tovuti ya TAYOA Bw. John J. Mindu akimweleza Katibu Mkuu Ofisi ya
Waziri Mkuu, Dr. Florence Turuka kuhusu tovuti ya vijana ya vijanatz. Com inayoelezea masuala ya
Biashara, Afya, Ajira kwa vijana ili waweze kujiendeleza, wakati alipotembelea
Banda hilo katika Maonesho ya Wakulima
NAne Nane tarehe 3 Agosti, 2014.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...