Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza ambako atakuwa mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika jijini Mwanza.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza ambako atakuwa mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...