Say no to abortion ni kampeni iliyojidhatiti katika kuelimisha vijana wadogo kuhusiana na hasara za utoaji mimba, mahusiano ya mapenzi mashuleni katika umri mdogo na elimu ya uzazi.

'Utoaji mimba usio katika hali salama, mazingira mazuri na vitendea kazi viivyodhibitishwa hufanyika kila siku katika jamii zetu ingawa serekali na sheria ya nchi yetu hairuhusiwi. 

Tunapoteza nguvu kazi, vijana wa taifa letu' alisema Mkurugenzi wa kampeni hiyo, ndugu Veronica Lugenzi ambayo imezinduliwa rasmi 22 august 2014 shuleni Aureke secondary na kaimu mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni Dr. Guninita Kamba, Mbezi, jijini Dar es salaam.
Kaimu mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni, Dr. Guninita Kamba (kushoto), Bi. Veronica Lugenzi na mwalimu mkuu wa Aureke secondary school wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Kaimu mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni, Dr. Guninita Kamba akiwahutubia wanafunzi.​
Kaimu mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni Dr. Guninita Kamba akizindua rasmi kampeni ya Say no to abortion shuleni Aureke secondary school, jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii ni kampeni nzuri iwafikie wasichana vijana na maafisa Afya,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...