Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akionyesha mashine ya kisasa aina ya LG iliyokamatwa kutoka kwa watuhumiwa wa kurudufu kazi za wasanii (CD FEKI) katika maeneo ya Kariakoo na Kimarta Bonyokwa jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama
akionesha mashine ya kisasa aina ya LG waliyokamatwa nayo watuhumiwa
wa kurudufu CD feki za kazi za wasanii katika maeneo ya Kariakoo na Kimara
Bonyokwa jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mrakibu Msaidizi wa Polisi ASP, Denis
Moyo. (Picha na Francis Dande)
Msama akionyesha wino na vifaa vingine vinavyotumika katika kutengeneza CD feki za kazi za wasanii.
Msama akionesha mashine ya kuprint Cover za CD.
Huyu Msama yeye ni Polisi? Inakuwaje polisi amesimama pemebeni yeye ndio anatoa maelezo? Hii ni kazi ya polisi.
ReplyDelete-Afande Miraji.
usishangae kuna watu wako katika nafasi zao lakini hawajui wajibu wao huo ndio mfano
ReplyDelete