Mwenyekiti wa Kamati namba moja ya Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Ummy Ali Mwalimu akimkabidhi kadi ya hongera   mtumishi wa Bunge hilo, Mhe. Leila Mgonya katika shehere ya kumwuaga  baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania. Awali  Mhe. Mgonya alikuwa ni Msaidizi wa  Waziri Mkuu.
 Mwenyekiti wa Kamati namba moja ya Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Ummy Ali Mwalimu akimlisha keki mtumishi wa Bunge hilo, Mhe Leila Mgonya katika shehere ya kumwuaga  baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania. 
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. William Lukuvi , akimlisha keki mtumishi wa Bunge hilo, Leila Mgonya katika shehere ya kumwuaga  baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania. Picha na Kamati ya Bunge Maalum la Katiba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera Sana sana Da Leıla--Edıth Mgonya. Bınafsı nınakuombea Mwenyenzı Mungu akulınde na akutangulıe katıka maısha yako na pıa katıka majukumu yako mapya ya U -Judge. Sıyo kazı rahısı lakını nınaamını utaıweza hasa ukımtangulıza Mungu. Nılıtamanı sana 'kuchungulıa ukıapıshwa lakını unafahamu fıka kuna TLS!
    Tüpo pamoja sana.
    .

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...