Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF,
Cresentius Magori akifafanua jambo kwa washiriki wa kongamano la Maofisa Rasilimali watu wa Taasisi za Kifedha lililofanyika Morogoro Hotel.
Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Maoafisa Rasilimali Watu
kutoka taasisi za Kifedha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa kongamano hilo.
Mgeni
Rasmi, Mkurugenzi wa Rasilimali watu NSSF ,Chiku Matessa akizungumza na
maafisa Rasilmali watu wa mabenki na taasisi mbali mbali za kifedha wakati wa
uzinduzi wa kongamano la maafisa rasilimali watu wa mabenki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...