Sporah atakua ana Host Africa Gospel Music Awards jumapili hii ya tarehe 24 mwezi wa nane. Atakua ana HOST hii award na muimbaji maarufu wa nyimbo za injili kutoka Ghana Mr Sonnie Badu.
Sonnie is a multiple award winning Gospel singer, songwriter, philanthropist, producer, TV presenter and author. He is arguably the most successful gospel export to emerge out of Africa in recent years.
Tunawakaribisha Watanzania woote wanaoishi Europe, wote wanakaribishwa.
Information zaidi ziko kwenye www.africagospelawards.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...