Kina mama wakionyesha mfano wa kuwanyonyesha watoto wachanga katika
kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika
kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,
Charles Pallangyo akizundua kitabu maalum cha Mwongozo wa Mafunzo ya
Ulishaji wa watoto wachanga na wadogo katika kilele cha maadhimisho ya
wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi
mkoani Iringa Juzi (kushoto) ni kaimu mkurugenzi wa mtendaji wa taasisi
ya chakula na lishe tanzania Dk. Joyceline Kaganda na katibu tawala mkoa
wa Iringa Wamoja Ayubu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo
akionyesha kitabu maalum cha Mwongozo wa Mafunzo ya Ulishaji wa watoto
wachanga na wadogo mara baada ya kukizundua rasmi katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji
Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa Juzi
(kushoto)ni katabu tawala mkoa wa Iringa na kulia nimwakilishi wa Unisef tanzania Paul Edwards.
Baadhi ya wanafunzi wa uuguzi wakiwa katika maandamano wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa.
mwakilishi wa shirika la kuhudumia watoto la umoja wa mataifa (UNICEF) nchini Tanzania Paul Edwards akizungumza. (picha zote na Denis Mlowe).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...