Makam wa Rais Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akiangalia zawadi ya kinyago aliyopewa na vijana wanasayansi duniani. Zawadi hiyo imetolewa Rais wa vijana wanasayansi duniani, Meng Wang. (kulia), kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo.
 Baadhi ya wanafunzi kutoka katika sekondari mbalimbali jijini Dar es Salaam katika picha ya pamoja na Makam wa Rais Makam wa Rais Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, pamoja na viongozi wengine, akiwemo Rais Mstaafu wa Awamu wa pili Benjamin Mkapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na viongozi wengine waliohuduria mkutano huo.
 Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (wa nne kushoto) katika picha ya pamoja na baadhi ya wanasayansi vijana kutoka nchi mbalimbali duniani na wanasayansi wengine wanaohuduria mkutano wa tatu wa vijana wanasayansi duniani. Wengine katika picha ni viongozi waliohudhuria ufunguzi huo akiwemo Rais Mstaafu wa Awamu wa pili Benjamin Mkapa, (wa nne kulia), Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa tatu kushoto), Rais wa Wajiolojia Afrika Profesa Aberra Mogessie (wa kwanza kushoto), Rais wa vijana wanasayansi Duniania Meng Wang (wa pili kushoto) wengine ni Profesa Roland Obehransli na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya BG- Tanzania, Adam Prince.
 Baadhi wa wanasayansi vijana kutoka nchi mbalimbali duniani wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa tatu wa wanasayansi vijana iliyosomwa na Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal
Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akimpa zawadi ya kinyago Mwenyekiti wa vijana wanasayansi kwa upande wa Tanzania Steven Nyagonda, anayefuatilia ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...