Maharusi David Kapungu (kushoto) akiwa na mkewe Vailet Mateso Ndimbo mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Mt Kilian mjini Mbinga na kufuatiwa na sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa kahawa club mjini Mbinga.
Maharusi David Kapungu na Vailet Mateso Ndimbo wakinyweshana champen wakati wa sherehe yao ya kuwapongeza mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Mt Kilian Mbinga mjini na kufuatiwa na sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika katika ukumbi wa kahawa club mjini humo ,maharusi wote ni wafanyabiashara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...