Wananchi wa  kijiji  cha Luvuyo kata ya Madope  wakimpokea  mbunge wao Deo Filikunjombe kwa maandamano
Wanachama  wa  chama  cha mapinduzi (CCM)   pamoja na  wananchi wa  kijiji cha Luvuyo kata ya Madope  wakishirikiana jana na mbunge  wao Deo Filikunjombe  (kushoto) kuchimba mifereji ya  maji katika barabara ya Luvuyo - Njombe  yenye urefu wa Kilomita 6 ambayo inajengwa kwa  ufadhili wa mbunge huyo kwa kiasi cha zaidi ya Tsh milioni 50
Wananchi wa  Luvuyo wakimsikiliza  mbunge  wao Deo Filikunjombea
Mbunge wa  jimbo la Ludewa akiwahutubia  wananchi wa Luvuyo mara  baada ya  kuzindua  ujenzi wa barabara ya Luvuyo - Njombe
Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe akisafirishwa katika  katika mkokoteni waw  kukokotwa na  ng'ombe  baada ya  wananchi  wa  kijiji  cha Luvuyo kata ya Madope  ambao awali  walitishia  kuhama  wilaya ya  Ludewa  kuhamia Njombe kusikilizwa  kilio  chao  cha ubovu wa  miundo mbinu kwa  kuanza kujengewa barabara na  mbunge   huyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...