Waziri Tibaijuka akifunga majadiliano juu ya mradi huo.
Waziri Tibaijuka akiwa ameshikana mikono na mbunge was Kigamboni
Faustine Ndungulie na baadhi ya madiwani na viongozi wengine kuonyesha
maridhiano namna mradi utakavyotekelezwa.
Kaimu
Mkurugenzi Msaidizi, Usanifu Miji na Uendelezaji Hellenic Mpetuta
akitoa mada namna mji mpya utakavyopangiliwa katika mkutano huo
uliofanyika Chuo Kikuu cha Kivukoni Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wadau wakifuatilia mawasilisho ya mada mbalimbali juu ya mradi huo.
Baadhi ya wadau wakifuatilia mawasilisho ya mada mbalimbali juu ya mradi huo.
Wadau wakipata picha ya pamoja na waziri Tibaijuka (katikati) mara baada ya majadiliano juu ya mradi huo.Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...