Waziri wa Ardhi, Nyumba
na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka (kulia) na Mkurugenzi wa Fedha wa
Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro (kushoto) kwa pamoja wakionyesha hundi ya
shilingi milioni mia moja iliyotolewa kwa wakazi wa kata Mvuleni, Manzese
mkoani Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kupitia asasi ya Tanzania Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS) ili kuboresha makazi
yao
Waziri wa Ardhi, Nyumba
na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumza wakati wa hafla ya
kukabidhi hundi ya shilingi milioni mia moja kwa wakazi wa kata Mvuleni,
Manzese ikiwa ni mkopo uliyotolewa kwa wakazi hao ili kuboresha makazi yao.
Mkopo huo ulitolewa na Benki ya Azania kupitia asasi ya Tanzania Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS). Kutoka kulia ni
Mwakilishi toka UN HABITAT Bw, Phillemon Mutashubirwa, Mkurugenzi
wa Fedha wa Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro, na Mkurugenzi wa Bodi ya
wakurugenzi ya TAFSUS Bw. John Ulanga.
Waziri wa Ardhi, Nyumba
na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumza wakati wa hafla ya
kukabidhi hundi ya shilingi milioni mia moja kwa wakazi wa kata Mvuleni,
Manzese ikiwa ni mkopo uliyotolewa kwa wakazi hao ili kuboresha makazi yao.
Mkopo huo ulitolewa na Benki ya Azania kupitia asasi ya Tanzania Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS). Wa kwa kulia ni
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro, na Mkurugenzi wa
Bodi ya wakurugenzi ya TAFSUS Bw. John Ulanga (wa pili kulia) na wa
kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mvuleni, Manzese Bw. Muhidini
Lyomeko.
Mkurugenzi wa Fedha wa
Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi
hundi ya shilingi milioni mia moja kwa wakazi wa kata Mvuleni, Manzese ikiwa ni
mkopo uliyotolewa kwa wakazi hao ili kuboresha makazi yao. Mkopo huo ulitolewa
na Benki ya Azania kupitia asasi ya Tanzania
Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS) ili kuboresha makazi ya
wakazi hao. Wapili kulia ni Mkurugenzi wa Bodi ya wakurugenzi ya TAFSUS
Bw. John Ulanga, mgeni rasmi wa hafla hiyo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo
ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka (wapili kushoto) na Mwenyekiti wa Serikali ya
Mtaa Mvuleni, Manzese Bw. Muhidini Lyomeko (wa kwanza kushoto)
wakazi wa Manzese hii ni fursa nzuri ya kuboresha makazi yenu.
ReplyDelete