Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo
pichani) wakati akizindua ushirikiano wa kampuni yake na Benki ya Afrika (BOA)
Tanzania unaowawezesha mawakala wa M-pesa na wasambazaji wa huduma za Vodacom
kupata miko nafuu na bila dhamana kuinuua biashara zao. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya BOA, Ammish Owusu –
Amoah.Hafal hiyo imefanyika Makao Mkauu ya Vodacom, Dar es salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Afrika (BOA) Tanzania Ammish
Owusu – Amoah (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza
wakipongezana mara baada ya kutangaza rasmi ushirikiano
unaowawezesha mawakala wa M-pesa na wasambazaji wa huduma za Vodacoyam kupata
mikopo nafuu na bila dhamana kutoka BOA kwa lengo la kuinuua biashara zao.
Mikopo hiyo ni kati ya Sh 10 Milioni na 75 Milioni.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Afrika (BOA), Ammish Owusu –
Amoah(kushoto)akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari(hawapo
pichani)kuhusiana na kuingia ubia na Vodacom
Tanzania ambao utawawezesha mawakala wa kuuza na
kusambaza bidhaa za kampuni hiyo kupata mikopo ya masharti nafuu na bila amana
ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja wao,kulia ni Mkurugenzi Mtendaji
wa Vodacom Tanzania,Rene Meza.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Afrika (BOA)-Tanzania na wa
Vodacom Tanzania wakifuatilia mkutano wa
waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa ushirikiano
kati ya BOA benki na Vodacom
Tanzania ambao
utawawezesha mawakala wa M-pesa na wauzaji wakubwa wa bidhaa za Vodacom kupata
mikopo ya kati ya Sh 10 Milioni na 75 Milioni kwa masharti nafuu na bila amana
ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja.
Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania,Hassan
Saleh(kulia) na Mkuu wa Mauzo wa M pesa Franklin
Bagala wakifuatilia mkutano wa waandishi
wa habari kuhusiana na uzinduzi wa ushirikiano
kati ya BOA benki na Vodacom
Tanzania ambao
utawawezesha mawakala wa M-pesa na wauzaji wakubwa wa bidhaa za Vodacom kupata
mikopo ya kati ya Sh 10 Milioni na 75 Milioni kwa masharti nafuu na bila amana
ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...