Ndege ya Mwenyekiti
na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko
Dangote ikiwasili katika uwanja wa Mtwara.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (wa pili kushoto), akiwa na balozi wa Nigeria, Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Mtwara, Francis Kasoyaga (wa pili kulia) wakiwa uwanja wa Ndege wa Mtwara wakati wakimsubiri kumpokea Mwenyekiti
na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko
Dangote.
Mwenyekiti
na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko
Dangote akishuka katika Ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Mtwara.
Mwenyekiti
na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko
Dangote akisalimiana na balozi wa Nigeria.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB akisalimiana na Mwenyekiti
na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko
Dangote.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...