KAPINGA KANGOMA MWENYEKITI MPYA CCM UK - AIBUKA NA USHINDI WA KISHINDO  WA ASILIMIA 94.6% YA KURA ZOTE HALALI.

Aanza kwa kuunda timu itakayounda upya Jumuiya ya Watanzania UK na kuhusisha wadau wote;Azungumzia suala la uraia pacha na Rais Ajaye katika uchaguzi 2015;Kuunda Saccoss ya watanzania UK na Jumuiya ya Wanawake.Na Abraham Sangiwa Itikadi Siasa na Uenezi - CCM – UNITED KINGDOM.
 Mwenyekiti Mpya wa CCM UK Ndugu Kapinga Kangoma akitoa nasaha na shukrani zake.
 Mwenyekiti Mstaafu wa CCM UK Ndugu Maina Owino akimkabidhi vifaa vya ofisi Mwenyekiti Mpya CCM UK Ndugu Kapinga Kangoma.
 Wajumbe, wanachama wa CCM UK na watanzania waishio uingereza wakimsikiliza Kwa makini Mwenyekiti Mpya wa CCM Ndugu Kapinga Kangoma (hayupo pichani).
 Mwenyekiti Mstaafu Ndugu Maina Owino akipiga kura yake katika Uchaguzi wa Mwenyekiti Mpya wa CCM UK.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hongera Kapinga Kangoma kwa heshima uliyopewa na Wana CCM wenzako UK.

    ReplyDelete
  2. People actually attend these meetings, plenty of time over there! England is bleeding with inflation, etc what has CCM got to do in rebuilding UK?

    ReplyDelete
  3. Ndugu zangu hengereni Sana,ila mbona mlichelewa kufanya hivyo. Kapinga toka nimetoka Uk 2010 sijaona wala kusikia maendeleo mazuri ya chama zaidi ya majungu na ubadhilifu wa pesa za chama. Wengine wakitumia image za dini kujitakatifuza, nakuahauri kama yangu hakikisha unafanya Kila kitu kwa maslahi ya chama na wajumbe wake. Mungu akupe hekima na busara kwenye uongizi Wako, mwisho naomba ufuatilie majibu ya Dollar elfu sitini za opena za kampeni 2010. God bless

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...