PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANI
Polisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,

Baada ya uchunguzi wa polisi kufuatia fujo hizo imegundulika kuwa muandaaji wa onyesho hilo Mr.Awin Williams Akpomiemie aliudanganya utawala wa ukumbi wa
Sindfingen
kwa kukodisha ukumbi huo kwa ajili ya african paty na mkutano sio
onyesho la muziki kama alivyofanya,na kusababisha fujo zilizotia hasara
ya euro 300,000 ( T-shilingi millioni 600=) ambazo inatakiwa alipe,kwa
promota huyo.
Awin Williams Akpomiemie hakuwa
na bima ya ku-cover au kulinda onyesho hilo na ukumbi lilipofanyika
ambapo ni ukumbi wa mikutano na maonyesho ya bidhaa siyo muziki.
taarifa za uhakika polisi imelipeleka swala hilo kwa ofisi ya sheria (Stadt Anwalt)
ya mji wa Stuttgart ili ichukue mkondo wa sheria ambao unamweka roho juu
bwana Awin Williams Akpomiemie - BRITTS EVENTS, Polisi inaendelea
kumuhoji kwa kujihusika na biashara zingine haramu.
Wakati
huo huo tahasisi mbali mbali na jumuiya za wafrika nchini ujerumani na
jirani zimelaani vikali tabia za raia huyo wa nigeria Awin Williams Akpomiemieza
kuwadanganya washabiki na kulivunjia hadhi na sifa bara la Afrika
nchini ujerumani ,tahasisi na jumuiya hizo zimewaonya watu kujiepusha
kabisa na
Watu wasifikirie euro 300,000 ni kwa ajiri chupa walizorushiana walevi pale hapa! bali labour charge za malipo ya askari waliofika pale walikuwa 17 na magari ya kubeba wagonjwa ndio maana gharama za hasara ni kubwa,ujerumani askari wakija katika tukio kama lile uwa wanakulipisha kwa sababu ukuwapa taarifa mapema kuwa kutakuwa na sherehe
ReplyDeletemmagari ya kubeba majerui nayo pia ulipiwa hakuna cha bure ujerumani
Wenzao FFU katika show zao nyuma ya jukwaa yale magari polisi yakuwaga tayari tayari washabiki wakianza na Polisi wanakinukisha,sasa show ya huyu
ReplyDeleteporomota mnigeria kulikoni? mbona kuna ubabaishaji