Jioni hii katika Makutano ya barabara za mitaa ya Aggrey na India,ambapo gari hiyo aina ya Noah iliyokuwa ikitokea katika kituo cha Mafuta imeigonga pikipiki hiyo iliyokuwa katika mtaa wa Aggrey kama ionekanavyo pichani.Dereva wa pikipiki (wa tatu kulia kama anavyoonekana akipatana na mwenye gari) akiweza kuruka na kutoka salama salimini.
Home
Unlabelled
jioni hii katika makutano ya mtaa wa Aggrey na India jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mara nyingi wenye piki piki ndiyo wachokozi katika haraka zao
ReplyDelete