Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)alipokutana na  Rais Jakaya Kikwete Ikulu  Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali kuhusiana na tasnia hiyo leo
 Rais Jakaya Kikwete akizungumza  na Ujumbe wa  Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia)ikulu jijini Dar es Salaam Leo

 Rais Jakaya Kikwete akiitia baadhi ya sample za vitambaa vya nguo vinavyotumiwa na mbunifu wa mavazi wa kimatafaifa Sheria Ngowi (kulia)IKULU Jijini Dar es Salaam leo. Mwenye suti ya bluu kushoto ni Makamu wa Rais wa Sheria Ngowi Brand Bw.  Haki Ngowi ambaye pia ni blogger maarufu nchini
 Rais Jakaya Kikwete katika picha ya kumbukumbu  na Ujumbe wa  Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa pili kushoto) Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. New Generation of Tanzanians...WOW!...everyone is look shapu sana including J.K.....keep up the gud work

    ReplyDelete
  2. Wabunifu wa mavazi Tanzania tutengeneze nguo za bei nafuu za made in Tanzania na kuzipigia debe ili tununue bidhaa zetu. Mtengeneze pia nguo za ndani zilizokuwa zinatengenezwa na viwanda vya humu nchini tumeshaulizwa kwanini zitoke mashariki ya mbali na nyinyi mpo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...