Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi (kulia) akichukua kipimo kuzindua kampeni ya upimaji Afya kwa Watumishi wa Umma hasa Virusi Vya Ugonjwa wa UKIMWI (VVU), zoezi hilo limefanyika Ofisini kwake mapema leo.
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAb Mkwizu (wa kwanza kushoto) akiwa pamoja na watumishi wengine wakati wa zoezi la kupima afya kwa Watumishi wa Umma hasa VVU mapema leo, Ofisi ya Rais-Utumishi.
ehemu ya Maofisa na Viongozi waliohudhuria zoezi la upimaji afya kwa Watumishi wa Umma lililofanyika leo Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...