Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi (kulia) akichukua kipimo kuzindua kampeni ya upimaji Afya kwa Watumishi wa Umma hasa Virusi Vya Ugonjwa wa UKIMWI (VVU), zoezi hilo limefanyika Ofisini kwake mapema leo.
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAb Mkwizu (wa kwanza kushoto) akiwa pamoja na watumishi wengine wakati wa zoezi la kupima afya kwa Watumishi wa Umma hasa VVU mapema leo, Ofisi ya Rais-Utumishi.
ehemu ya Maofisa na Viongozi waliohudhuria zoezi la upimaji afya kwa Watumishi wa Umma lililofanyika leo Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...