Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kuona baba anatembeza mwanae ni hatua kubwa kwa Afrika yetu, ambapo mambo kama hayo alikuwa anaachiwa mama peke yake.

    ReplyDelete
  2. Mimi kinacho nivutia kwenye picha hiyo ni maandishi yaliyopo ukutani na mazingira yalivyo kwenye picha yenyewe. Hakuna nchi nzuri kama TZ. Tunakula matunda ya uhuru kwa raha zetu.

    ReplyDelete
  3. Anonymous hapo juu nia ya mwandishi haikuwa kama unavyofikiria kuonesha umma kuwa Baba ana mapenzi na mwana, nia hapo ni kuonesha matumizi ya Alama kama kibao kinavyosomeka NO PARKING halafu kipo KITUO CHA POLISI NA magari kibao likiwemo gari la POLISI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...