Asalaam aleykum wa Rahmatul Lah, 
Ndugu zangu katika imani, An Noor Community Centre wakishirikiana na Madrasatul Noor Leicester wana furaha na heshima kubwa ya kukupeni mwaliko wa muhadhara wa kiislamu utakaofanyika kwa utaratibu ufuatao:

Siku: Jumamosi tarehe 27 Septemba 2014
Wakati: Kuanzia saa kumi kamili  jioni (4pm). 
Pahala: Msikiti wa An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, LE1 3XL.
Muhadhir: Sheikh Nassor Haroub kutoka London. 

Waislamu wote wa kike na wa kiume mnaombwa muhudhurie.
Wanawake watakuwa katika eneo la juu la msikiti (1st Floor). 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Ustadh Issa Omar: 07730362748
Abdul Dau: 07792104495
Wabillahi Tawfeeq

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...