Mimi Clement Bocco, napenda kuwakaribisha marafiki zangu wote, madiwani wenzangu, wanakwaya wenzangu wa kkkt Kijitonyama, wanasiasa wenzangu, ndugu na jamaa wote mje kufurahi pamoja na familia yangu kwenye sherehe ya mahafali (graduation) yangu ya Masters kwenye chuo cha IFM jijini Dar es salaam mwezi ujao tarehe 10.10.2014.
Baada ya ratiba ya chuoni itafuatiwa na tafrija itakayofanyika kwenye ukumbi wa Pine Lodge jirani na Bahari Beach Hotel kuanzia saa 12:30 jioni.
Hakuna kiingilio. KARIBUNI WOOOTE
Kwa maelezo zaidi piga 0754-073014
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...