Nguli
wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule a.k.a Professa J jana aliweza
kufanya vyema katika uzinduzi wa video zake mbili, 'Kipi Sijakisikia' na
'Tatu Chafu' uliofanyika jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo uliweza
kuhudhuriwa na wasanii mbali mbali ambao walikuja kumpa support. PICHA
ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.
Msanii Professa J akitoa burudani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...