Bwana harusi Renatus Malulu akimvisha pete ya ndoa mkewe Imeresiana Charles wakati wa ibada ya ndoa yao iliyofanyika katika kanisa katoliki la Mtakatifu Mashahidi wa Uganda la Magomeni jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi center.
Wakiwa na nyuso za furaha bwana harusi Renatus Malulu na mkewe Imeresiana Charles wakiwa kwenye pozi la picha baada ya kufunga pingu za maisha katika kanisa la Mtakatifu Mashahidi wa Uganda la Magomeni jijini Dar es Salaam, nakufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi center.
Renetus Malulu na Imeresiana Charles wakinyweshana shampeni wakati wa sherehe yao ya ndoa iliyofungwa katika kanisa katoliki la Mtakatifu Mashahidi wa Uganda la Magomeni jijini Dar es Salaam, nakufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi center.
Bwana harusi Renatus Malulu na Mkewe Imeresiana Charles wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa katoliki la Mtakatifu Mashahidi wa Uganda la Magomeni jijini Dar es Salaam, nakufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msimbazi center.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...