Baba Levo na Peter Msechu wakipagawisha jukwaani kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Mmoja wa mashabiki aliyekuwa kwenye Tamasha la Fiesta akishangilia huku akiwa amebebwa na mwenzake.
Umati uliyokuwa umefurika kwenye Tamasha la Fiesta 2014, ukishangilia
moja ya burudani zilizokuwa zikitolewa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini
Morogoro.
Makomando wakiwajibika jukwaani hapo.
Ommy Dimpoz akiimba na mmoja wa mashabiki aliyekuwa akiimba kwenye nafasi ya Vanessa Mdee katika wimbo wa Me & U.
Fid Q akifanya yake kwenye jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Mashabiki wakishangilia .PICHA NA MICHUZI JR-MOROGORO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...