Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake wakiwa katika banda la Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT) Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014, yaliyofunguliwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Ofisa Uendeshaji wa UTT, Justine Joseph akitoa maelezo kuhusu fai anayoweza kupata mwanachama  mara baada ya kujiunga na mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania.  
Watu mbalimbali wakisoma vipeperushi vyenye maelezo ya huduma za UTT ili kujua faida za kujiunga na mfuko huo.
Ofisa Mafunzo wa UTT, Hilder Lyimo akitoa maelezo kuhusu huduma wanazotoa kwa watu walotembelea banda la Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT) katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 iliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...