Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya
Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Concilia Niyibitanga akizungumza
na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
leo jijini Dar es Salaam.Kuliani Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana
Dkt. Steven Kissui na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bw.
Frank Mvungi.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui
akionyesha Kitabu cha Sera ya Maendeleo ya Vijana kwa waandishi wa habari
wakati alipokuwa akito ufafanuzi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
leo jijini Dar es Salaam. Kuliani ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Concilia
Niyibitanga.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia taarifa kuhusu Mfuko wa
Vijana wakati wa mkutano wa msemaji wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo na waandishi hoa uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari
MAELEZO leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Frank Shija
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...