Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu,
Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia Wajumbe waliohudhuria mkutano wa
Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es
Salaam.
Baadhi wa Wajumbe waliohudhuria
mkutano wa Jiolojia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni
rasmi katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Wanasayansi Vijana wakifuatilia
mada wakati wa mkutano wa tatu
wa Wanasayansi Vijana Duniani wenye lengo la kuhakikisha kuwa vijana
wanashiriki vyema katika rasilimali za duniani kwa ajili ya maendeleo na ukuaji
wa uchumi thabiti. (Picha na Makala na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...