Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Meza
Kuu-Katikati), akizungumza na wawakilishi wa Kampuni mbalimbali
zinazohusika kusambaza umeme vijijini kutoka India, China na Sri Lanka
zinazofanya kazi katika Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kuhusu utekelezaji
wa miradi husika.
Wawakilishi wa Kampuni mbalimbali zinazohusika kusambaza umeme
vijijini kutoka India, China na Sri Lanka zinazofanya kazi katika Mikoa
ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi pamoja na baadhi ya Mameneja wa
Tanesco wa Mikoa husika, wakitoa mrejesho kwa Waziri wa Nishati na
Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Meza Kuu – Katikati), kuhusu hatua
iliyofikiwa katika utekelezaji wa Miradi husika. Kulia kwa Waziri Muhongo
ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Charles
Kitwanga na kushoto kwa Waziri ni Kamishna Msaidizi wa Nishati sehemu
ya Umeme, Mhandisi Innocent Luoga.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...