Rais Jakaya Kikwete akihojiwa na Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:UM/Joseph Msami)
Rais Kikwete na Malkia MAxima wa Uholanzi
ambaye pia ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu  wa
Umoja wa Mataifa  kuhusu financing for development
Hatimaye mkutano wa wakuu wa nchi na serikali uliofanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjiniNew York, Marekani ukiangazia hatua madhubuti zinazopaswa kuchukuliwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi umefikia ukomo wake.
Mkutano huo wa siku moja ulitoa fursa kwa viongozi kutangaza hatua na suluhu la jangahiloambalo tayari madhara yako yako bayana kwa nchi tajiri na maskini.
Miongoni mwa viongozi walioshiriki ni Rais Jakaya Kikwete waTanzaniaambaye katika hotuba yake akiwasilisha bara la Afrika alitaja mambo ambayo Afrika inahitaji wakati ambapo tayari yenyewe imeshaanza kuchukua ni hatua.
Assumpta Massoi wa Idhaa hii alizungumza na Rais Kikwete baada ya hotuba hiyo na kumuuliza mambo hayo ni yapi? 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...