Home
Unlabelled
Yale yale.....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mimi sijaelewa hapa ana tia upepo au anatoa ni nini hasa anafanya huyo kijana
ReplyDeleteUkiachana na maneno yakimsamiati picha inajieleza yenyewe, kama huoni tatizo then kesho tutakuona na wewe ukirudia kosa hilohilo. Watu wengi katika jamii yetu wameshaona vitendo hivi vya kukosa ustaarabu kama mambo ya kawaida, kweli Bongo safari bado ndefu...
ReplyDeleteTuangalie tatizo ni nini? Je mnamlaumu huyu jamaa wakati ukweli ni kuwa hakuna vyoo vya kujisadia. Niambie hapo vyoo vya umma vipo wapi hapo kama hamjaanza kumlaumu huyu jamaa.
ReplyDeleteNani kamtuma deereva wa roli kutembea na taili pancha??!! Nauliza??!! Basi muache kijana atoe huduma yake bureeeee!! ahaahaha kweli bongo tambarare, hii inabidi tukaiwekee trade mark maana hauwezi kukuta hii popote duniani!! Sio kila kitu kianzishwe na wazungu nasi tumegundua hii kudadadeki aaahahaah chezea bongo weeeeye!!
ReplyDeletePamoja na kuwa hakuna public toilets ktk maeneo mengi nchini laniki mtu mwenye heshima yake angeweza kutumia vyoo vya maeneo ya jirani ie, bar, groceries nk. Inabidi tubadili mentality zetu .
ReplyDelete