Waumini wa Dini ya Kiislam wa dhehebu la Aswar Sunni kutoka maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam,wakiwa wamejumuika pamoja kwenye viwanja vya Jangwani jijini kwa swala ya Idd el Hajj mapema leo asubuhi.Waislam hawa wanaungana na wenzao waliopo kwenye Idada ya Hija huko Makka.
Waumini wa Dini ya Kiislam wa dhehebu la Aswar Sunni kutoka maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam wakisoma dua mara baada ya Swala ya Idd el Hajj iliyoswaliwa mapema leo asubuhi kwenye viwanja vya Jangwani,jijini.
Maalim akitoa Mawaidha katika swala hiyo ya Idd el Hajj katika viwanja vya Jangwani,jijini Dar es Salaam leo.
Waumini wa Kiislam wakiondoka kwenye viwanja vya Jangwani,jijini Dar es Salaam mara bada ya swala ya Idd el Hajj.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...