Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Jiji la Oestende la Ubelgji Mhe. Collins Nweke (katikati). Mhe. Collins alifika ofisini kwa Balozi Kamala kumweleza mipango ya Jiji la Oestende kushirikiana na Tanzania. Kushoto ni Mhe. Nyamtara Mukome Mratibu wa Masuala ya Uchumi katika Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji.
Home
Unlabelled
balozi kamala akutana na katibu mkuu wa taasisi ya kusambaza umeme vijijini na Mkuu Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Jiji la Oestende la Ubelgji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Huyu naye ni kama yule wa Dubai?
ReplyDelete