Balozi wa Tanzania Ubeligiji (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaosoma kwenye vyuo vikuu vya Ubeligiji . Balozi Kamala kakutana na Watanzania hao Jumamosi jijini Brussels kuzungumzia maswala mbalimbali ikiwemo masomo na changamoto zake pamoja na maendeleo ya nyumbani Tanzania.
Home
Unlabelled
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSOMA VYUO VIKUU VYA UBELIGIJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Balozi Kamala: Unapenda photography lakini hupendi kununua kamera yenye kutoa picha nzuri! Picha zako zote naona ziko blurred. Huo ni mrejesho tu.
ReplyDeletehapa ni brussells?
ReplyDelete