Wanachama  wa chama cha Watanzania waishio Ufaransa wakishiriki katika kufanya usafi katika ubalozi wa zamani jijini Paris ikiwa ni mojawapo ya shughuli za kuadhimisha Mwalimu Nyerere Day
  Wanachama  wa chama cha Watanzania waishio Ufaransa wakishiriki katika kufanya usafi katika ubalozi jijini Paris ikiwa ni mojawapo ya shughuli za Mwalimu Nyerere Day
  Wanachama  wa chama cha Watanzania waishio Ufaransa wakishiriki katika kufanya usafi katika ubalozi jijini Paris ikiwa ni mojawapo ya shughuli za Mwalimu Nyerere Day
 Balozi wa Tanzania nchini  Ufaransa Mhe Begum Taj naye alishiriki katika kusafisha jengo la ubalozi jijini Paris
 Balozi wa Tanzania nchini  Ufaransa Mhe Begum Taj akiwa katika picha ya pamoja na wanachama  wa chama cha Watanzania waishio Ufaransa ambao walishiriki katika kufanya usafi katika ubalozi jijini Paris ikiwa ni mojawapo ya shughuli za Mwalimu Nyerere Day

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...