Muendesha bodaboda (alieshika kiuno) akizungumza na mmiliki wa gari mara baada ya kupigwa pasi na kupiga mweleka barabarani katika eneo la geti kuu la kuingilia Mlimani City jijini Dar es salaam usiku huu.Mwenye gari hiyo alikuwa akiingia Mlimani city huku muendesha bodaboda hiyo akiwa barabara kuu akitokea Ubungo kuelekea Mwenge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...