Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia)
akitaniana na kiongozi wa kundi la”Wakali sisi”la kiwalani jijini Dar es Salaam,Baraka
Kambona(kushoto)alipokuwa akikabidhi hundi yenye thamani ya Tsh Milioni 5 kwa
kundi hilo kama wadhamini wakuu wa shindano la Dance 100% kundi hilo liliibuka
washindi katika fainali ya shindano hilo
lililofanyika mwishoni mwa wiki Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Washindi wa shindano la Dance 100% 2014 kundi la
wakali sisi wakiwa kwenye picha ya pamoja na majaji wa shindano hilo na Ofisa
matukio wa Basata Kurwijira Magesa (kushoto)pamoja
na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(wapili toka kulia)
mara baada ya kutangazwa washindi wa shindano hilo na kujinyakulia kombe pamoja
na kitita cha shilingi milioni 5 toka kwa wadhamini wakuu wa shindano hilo Vodacom
Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...