JAJI KIONGOZI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA MHE. SHABAAN A. LILA WA KWANZA KULIA NA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA BW. HUSSEIN A. KATTANGA WAKIWA NDANI YA STUDIO ZA MAGIC FM JIJINI DAR ES SALAAM KWENYE KIPINDI ASB KINACHOENDESHWA NA WATANGAZAJI OREST KAWAU, MARY EDWARD NA KIBWANA DACHI.
 WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA MORNING MAGIC , MARY EDWARD NA OREST KAWAU WAKIWA NDANI YA MAGIC FM WAKATI WA MAHOJIANO NA JAJI KIONGOZI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA MHE. JAJI SHABAAN A. LILA NA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA BW. HUSSEIN A. KATTANGA AMBAO HAWAPO PICHANI. 
 WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA MORNING MAGIC  NDANI YA REDIO MAGIC FM WA KWANZA KULIA NI KIBWANA DACHI, ANAYEFUATA BW. HUSSEIN  A. KATTANGA –MTENDAJI MKUU MAHAKAMA  TANZANIA, ORESTI KAWAU , JAJI KIONGOZI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA MHE  JAJI  SHABAAN A. LILA, MARY EDWARD NA MARY GWERA  OFISA HABARI WA MAHAKAMA KUU  TANZANIA,  WAKIWA KATIKAPIHA  YA PAMOJA MARA BAADA YA KUMALIZA MAHOJIANO KUZUNGUMZIA UTARATIBU ULIOANZISHWA WA KUSIKILIZA/KUMALIZA KESI ZA MUDA MREFU NCHINI. 
Kusikiliza sehemu ya kipindi hicho na mahojiano na Jaji Kiongoze nenda:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...