JAJI
KIONGOZI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA MHE. SHABAAN A. LILA WA KWANZA KULIA NA
MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA BW. HUSSEIN A. KATTANGA WAKIWA NDANI YA STUDIO ZA
MAGIC FM JIJINI DAR ES SALAAM KWENYE KIPINDI ASB KINACHOENDESHWA NA WATANGAZAJI OREST KAWAU, MARY
EDWARD NA KIBWANA DACHI.
WATANGAZAJI
WA KIPINDI CHA MORNING MAGIC , MARY EDWARD NA OREST KAWAU WAKIWA NDANI YA MAGIC
FM WAKATI WA MAHOJIANO NA JAJI KIONGOZI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA MHE. JAJI
SHABAAN A. LILA NA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA BW. HUSSEIN A. KATTANGA AMBAO
HAWAPO PICHANI.
WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA MORNING MAGIC NDANI YA REDIO MAGIC FM WA KWANZA KULIA NI
KIBWANA DACHI, ANAYEFUATA BW. HUSSEIN A.
KATTANGA –MTENDAJI MKUU MAHAKAMA
TANZANIA, ORESTI KAWAU , JAJI KIONGOZI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA
MHE JAJI SHABAAN A. LILA, MARY EDWARD NA MARY
GWERA OFISA HABARI WA MAHAKAMA KUU TANZANIA,
WAKIWA KATIKAPIHA YA PAMOJA MARA
BAADA YA KUMALIZA MAHOJIANO KUZUNGUMZIA UTARATIBU ULIOANZISHWA WA
KUSIKILIZA/KUMALIZA KESI ZA MUDA MREFU NCHINI.
Kusikiliza sehemu ya kipindi hicho na mahojiano na Jaji Kiongoze nenda:
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...