Kamishna wa Ustawi wa Jamii,Bw. Dunford Makalla akikata utepe kuashiria ufunguzi wa mtambo wa mpya wa kusafishia maji safi na salama katika Mahabusu ya Watoto iliyopo Upanga,jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni wafanyakazi wa Kampuni ya Davis&Shirtliff.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya DAVIS & SHIRTLIFF, Bw. Benjamin Munyao akimuonyesha Kamishna Wa Ustawi wa Jamii, Bw. Dunford Makalla jinsi mtambo huo unavyofanya kazi ya kusafisha maji na kuwa salama na safi kwaajili ya Kunywa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya DAVIS & SHIRTLIFF, Bw Benjamin Munyao akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na wageni waalikwa juu ya mtambo wa kusafishia maji walioutoa kwa Mahabusu ya Watoto,iliyopo Upanga jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Kamishna Wa Ustawi wa Jamii,Bw. Dunford Makalla na Kaimu Afisa Mfawidhi wa Mahabusu ya Watoto iliyopo Upanga,Bi Zuhura Mfinanga
Kamishna Wa Ustawi wa Jamii,Bw. Dunford Makalla akiishukuru kampuni ya Davis & Shirtliff kwa kujitolea kuisaidia Mahabusu ya Watoto. Pembeni yake ni Kaimu Afisa Mfawidhi wa Mahabusu ya Watoto,Bi Zuhura Mfinanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...