Naibu Waziri Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Dkt. Abdulla Juma Abdulla Saadalla (mwenye kofia)  akioneshwa namna Meli ya RV Jumuiya inavyofanya kazi ikiwa katika mwendo ndani Ziwa Victoria na nahodha wa meli hiyo  Captain Juma Nkwama jijini Mwanza. 
 Naibu Waziri wa Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Dkt. Abdulla Juma Abdulla Saadalla akitiasaini kitabu cha maudhurio ndani ya Meli ya RV Jumuiya.
Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Abdulla Juma Abdulla Saadalla  akifafanua ajambo ndani ya Meli ya RV Jumuiyakatika kikao chake na naodha wa meli hiyo Peter Nkwama na Muhandisi wa meli hiyo Herman Bundala.
Meli ya RV Jumuiya Meli ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwa gatini jijini Mwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...