Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu
Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akiowaonyesha mabango ya filamu za Tanzania wageni
kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (hawapo pichani) walipotembelea ofisi za
Bodi hiyo ili kujifunza namna ya Uendeshwaji wa Bodi ya Filamu jana jijini Dar
es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bw. Silyvester Sengerema.
Kutoka kushoto ni Afisa Mult Media
kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (CA) Bi. Jacquline Kinyanjui, Afisa Mult
Media kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Kenya Bi. Mercy Tepla na Afisa kutoka
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. George Charles wakisikiliza maelezo
kutoka kwa uongozi wa Bodi ya Filamu Tanzania walipotembelea ofisi za Bodi hiyo
jana jijini Dar es Salaam.
Ujumbe kutoka Mamlaka ya Mawasiliano
Kenya wakiwa katika kikao cha pamoja na Watendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania
jana jijini Dar es Salaam.Picha na Frank Shija, WHVUM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...