Meneja wa Masoko wa Kampuni ya Smile Communications,Linda Chiza (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua huduma mpya ya SmileOn itakayomuwezesha Mteja wa Smile kutumia huduma ya Internet hapa kama kifurushi chake kikekwisha.kushoto ni Afisa Mkuu wa Utendaji na Miradi,Athuman Ibrahim Nzowa na kulia ni Meneja Huduma kwa Wateja,Gabriel Ndobho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. WANASEMA WAPO DAR ES SALAAM NA ARUSHA, WAKATI MTANDAO WAO HAUJACOVER DAR NZIMA UKIFIKA BANANA UKONGA NET ZIROOOOOOOOOOOOOO, WALA HAUPATIKANI, MIE NILINUNUA KWA AJILI YA MATUMIZI YA COMPUTER YA NYUMBANI NAISHI PUGU - CHANIKA, NI KAMA PESA YANGU IMEPOTEA BURE NO INTERNET KABISA, WAKATI VODA, TIGO NA AIRTEL ZINAPATIKANA HADI KWENYE MAPORI YA KISARAWE MBELE YA CHANIKA. NILIOMBA WANIRUDISHIE PESA YANGU WAKAKATAA KABISA SALES STAFF WAO PIA HAWASEMI UKWELI KUWA KAMPUNI YAO NI YA POSTA/KARIAKOO/MAGOMENI SIO DAR NZIMA....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...