Mgeni rasmi, Mwanasheria Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Wakili Msomi, Ramadhan Maleta (katikati mwenye tai) akiangalia kazi za wanafunziza darasani walizozionesha kwake na kwa wazazi wakati wa mahafali ya kidato cha nne ya shule ya sekondari ya Lilian Kibo, Goba Matosa, Dar es Salaam juzi.
Wakili Maleta akiangalia chura anavyopasuliwa wakati wa somo la bailojia wakati akioneshwa na mwanafunzi wa shule ya Lilian Kibo.
Wanafunzi wa shule ya Lilian Kibo wakitumbuiza kwa nyimbo wakati wa mahafali ya kidato cha nne shuleni hapo juzi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...