Ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwako kwa upendo na support yako, kama ulifanikiwa kufika siku ya jumamosi na ijumaa ilikuwa bomba sana, and could have never been possible without you, one way or the other. Thank you very much, naomba Mungu aendelee kukupa nguvu na upendo. Naomba nikukumbushe kuwa jumamosi hii tarehe 1/11 ndio siku ya sheree za kutimiza miaka 2 (2nd anniversary) tangu kurejea kwa Legend, this is where I need your support the most, mjulishe kwa ujumbe huu yeyote ambae unahisi kwa namna moja au nyingine ana love na DJ John Dillinga. Have a lovely sunday, One love to you and God bless you. Dj JD
Home
Unlabelled
THE LEGEND DJ JD
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...