"Uzalendo kwanza" Shabiki wa timu ya Taifa Stars akishangilia
Mshambliaji wa Timu ya Taifa Stars,Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Benin wakati wa Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 4-0 mpaka sasa.
Kiungo Mshambuliaji wa Taifa Stars,Amri Kiemba akiipatia timu yake bao la pili katika Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 4-0 mpaka sasa.
Raha ya Ushindi,Timu ya Taifa Stars wakishangilia mara baada ya kupata goli la nne dhidi ya timu ya Benin.
Mchezaji wa timu ya Taifa Stars akielekea golini mwa timu ya Benin
Ni furaha na miluzi kwa wingi imetawala hivi sasa ndani ya uwanja wa Taifa hivi sasa,mara baada ya timu ya Taifa Stars kuongeza bao la nne dhidi ya timu ya Benin kwenye mchezo wa kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...