Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimshangilia Alavuya Ntalima baada ya kushiriki mbio za Kilomita 32 za Baiskeli wanawake kutoka Kijiji cha Melela Mlandizi hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 12 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 

 Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimshangilia Alavuya Ntalima baada ya kushiriki mbio za Kilomita 32 za Baiskeli wanawake kutoka Kijiji cha Melela Mlandizi hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 12 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali  (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 

 Mshiriki wa mbio za Baiskeli wanawake, Alavuya Ntalima akishangiliwa na wanamichezo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakati alipokuwa anawasili baada ya kushiriki mbio za Kilomita 32 za Baiskeli kutoka Kijiji cha Melela Mlandizi hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 12 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali  (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani.
 Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimshangilia Cosmas Peter (aliyevaa kofia) baada ya kushiriki mbio za Kilomita 50 za Baiskeli kundi la wanaume kutoka Kijiji cha Melela Njia Panda ya Msata hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 19 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali  (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake, Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 

Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimnyoosha misuli Cosmas Peter baada ya kushiriki mbio za Kilomita 50 za Baiskeli kundi la wanaume kutoka Kijiji cha Melela Njia Panda ya Msata hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 19 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za Mpira wa Miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali. Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...