Mchezaji wa TUMESHERIA Sports,Bi. Marlin Komba akimkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kombe la ushindi wa pili wa katika mashindano ya SHIMIWI yaliyomalizika hivi karibuni mkoani Morogoro.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akimkabidhi kikombe mchezaji wa TUMESHERIA Sports Club,Bi Tatu baada ya kuibuka mshindi wa pili katika mchezo wa bao wa mashindano ya SHIMIWI yaliyomalizika mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro.
Wachezaji wa TUMESHERIA Sports Club wakifurahia mara baada ya kukabidhiwa kikombe.
Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa akiwaoongoza wachezaji wa TUMESHERIA Sports Club kumkabidhi Mwenyekiti wa Tume Kombe.
Mchezaji wa TUMESHERIA Sports Marlin Komba akionesha kikombe pamoja na Cheti cha ushiriki wa mashindano ya SHIMIWI yaliyomalizika mwishoni mwa wiki Morogoro.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akimkabidhi kikombe mchezaji wa TUMESHERIA Sports Club,Bi Tatu baada ya kuibuka mshindi wa pili katika mchezo wa bao wa mashindano ya SHIMIWI yaliyomalizika mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro.
Wachezaji wa TUMESHERIA Sports Club wakifurahia mara baada ya kukabidhiwa kikombe.
Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa akiwaoongoza wachezaji wa TUMESHERIA Sports Club kumkabidhi Mwenyekiti wa Tume Kombe.
Mchezaji wa TUMESHERIA Sports Marlin Komba akionesha kikombe pamoja na Cheti cha ushiriki wa mashindano ya SHIMIWI yaliyomalizika mwishoni mwa wiki Morogoro.
Hongerini sna
ReplyDelete