Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Ndewiyo'ShindoOctober 14, 2014

    Hongera sana Constantine. Hii ni ukweli mzito kabisa.

    ReplyDelete
  2. Hongera sana ndugu Constantine Magavilla kwa kipindi hiki cha kumbukumbu ya Mwl Nyerere na historia yake. Umeleta changamoto kubwa sana kwa watu wa Tanzania. Asante sana kwa hotuba na maelezo yake.

    ReplyDelete
  3. Very nice

    ReplyDelete
  4. Marekani ina wazawa kaka. Wanaitwa Red Indians.

    ReplyDelete
  5. Asante Magavilla kwa wasaha wako kuhusu kumbukumbu ya Mwl. JKN. Ulilosema kuhusu Historia ni muhimu sana, nafikiri kwa wale waliomsoma Marcus Garvey watakumbuka alivyokuwa akilisisitiza hili miaka ya 20 na 30 huko Marekani.

    Kwa bahati mbaya mpaka sasa hivi watu weusi bado wanahangaika duniani kwa sababu tu ya kutoielewa historia yao, matokeo yake ni jamii ya daraja la chini kabisa. Hata wale wanaoishi kwenye "super-power country" wamebaki kuburuza mkia katika ligi ya kiuchumi!

    Kimsingi historia tunayotakiwa kuijua sio tu ya haka kasehemu tunakaita "Tanzania", tunatakiwa kuijua historia kamili ya mtu mweusi, ndipo tutakapopata "self-confidence" na uthubutu wa kupambana na kusonga mbele, kwani tutajua mafanikio ambayo walikuwa wameyapata waliotutangulia.

    Ni juzi tu wakazi wa maeneo ya pembeni mwa ziwa Nyanza/Lweru walikuwa wamepiga hatua ya ufuaji chuma miaka takribani 2,000 iliyopita kwa teknologia ambayo haikuwa imefika hata Ulaya. Na chuma ndio msingi wa maendeleo ya kilimo na viwanda. Watu wengi weusi ukiwasimulia hicho kidogo wanakukimbia kuwa umepoteza fahamu, hawaamini!

    Kwa historia fupi ya TZ bado tunanyang'anyana nani haiandike, maana bado kuna mambo hayajawekwa wazi na si washiriki wengi wameainishwa katika historia hiyo. Itabidi tuiandike upya vizuri wakati walioishuhudia wakiwa bado wanaishi!

    Bwana Magavilla nitaomba kutofautiana nawe kidogo kama nimekuelewa maana nimeona kama unautukuza umaskini! Hili ni kosa kubwa. Ila endelea kutafiti utapata mengi ambayo bado hayajawa wazi, na ndipo utakapoweza kuwaelezea walimwengu ni kinawasibu! Keep looking!!

    ReplyDelete
  6. STEVEN MENGERE BWANA, AKIMUIGIZA MWALIMU NYERERE UTAZANI NI YEYE ORIGINAL.

    ReplyDelete
  7. Ushauri kwa mtoa maada
    1.Eleza facts zilizopo na sio kukisia.
    2.punguza maelezo kwa mkono ,ikiwezekana usipakate fimbo,Kama ni identity yako itajulikana tuu haina haja ya kulazimisha,
    3.Relax mwanzo mzuri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...